
Wabunge wa Upinzani katika Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Watanzania Wanazomea Bungeni mara baada ya Kutangazwa Kuingia kwa Rais wa Zanzibar Mh Dk Ali Mohamed Shein.Wanachopinga wabunge hao wanadai hawamtambui Dk Shein Kama RaisHalali wa Zanzibar.Hali hiyo ilianza pale Naibu spika alipomuita Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kutengua Kanuni ili Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wameze Kuongozana na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Magufuli wakati atakapokuja Kulihutubia Bunge na Kulizindua Rasmi ,Wabunge hao waliaanza Kupiga kelele Mara Baad ya Kutangazwa kuingia kwa Spika wa Baraza la Wakilishi Zanziba,Makamu wa Pili wa Rais ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar..
Post a Comment