Social Icons

Loading...

DUNIA IMEKWISHAAAA!!! WACHUNGAJI WAFANYA UBATIZWA WA KUTISHA,WAAMURU WAUMINI KUVUA NGUO ZOTE NA KUBAKI WATUPU KISHA...SOMA KISA KAMILI HAPA...

Dunia hii inaelekea ukingoni ukiona mambo yanayotokea  kwenye ardhi hii utagundua tupo kwenye hatua za mwisho kabla ya hukumu kuikumba Dunia. maskanibongotz mzigoni Mtandao huu wa maskanibongotz kupitia msaada wa mitandao mingine ya kimataifa nchini Jamaica umenasa taarifa za siri za Kanisa moja nchini humo ambalo waumini wake hubatizwa wakiwa uchi na Pasta wake huwabusu kwenye makalio kabla ya kuzamishwa baharini kwa ajiri ya kumpokea bwana wao. Pichani kama inavyoonesha wanaumini hao wakiwa wamepiga magoti na kutizama baharini ambapo mbele yao kuna mchungaji mwingine akiwabariki lakini nyuma yao kuna mchungaji anaewabusu kwenye makalio na kusema maneno kadhaa ya Mungu wao wanaomjua wao ambae si Mungu wetu huyu aliyeumba Mbingu na Ardhi au mungu unaemjua wewe na mimi ambae si Mungu wa masihara kwamwe. Credit:maskanibongotz

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top