Social Icons

Loading...

KENYA WAPIGA MARUFUKU BODA BODA KATIKATI YA JIJI LA NAIROBI...SOMA HAPA...

Katikati ya Jiji la Dar es Salaam hili zoezi lilianza muda mrefu zaidi ya mwaka sasahivi, ambapo ilipigwa marufuku kabisa madereva wa bodaboda na Bajaji kuonekana wakisafirisha wateja wao kuingia katikati ya Jiji, headlines leo zinaigusa Nairobi Kenya !! Bodaboda marufuku katikati ya Jiji.
Nairobi II
Hiyo stori imeripotiwa na Kituo cha TV cha K24 ambapo madereva wa bodaboda wenyewe wameonekana kulalamikia agizo hilo wakisema kwamba wanazuiwa kuingia katikati ya Jiji lakini hawajaoneshwa wapi ni eneo rasmi haswa ambapo wanatakiwa kufanya  shughuli zao.
Kingine ambacho kimetengazwa Nairobi ni kwamba mkikamatwa mnakatisha katikati ya Nairobi, abiria pamoja na dereva wote mnapigwa faini… stori iko kwenye hii video pia.
==>Millardayo.com

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top