Social Icons

Loading...

BREAKING NEWS: AJALI MBAYA YATOKEA,PICHA ZOTE ZIKO HAPA...

Watanzania 13 wamefariki na wengine nane kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika eneo la biashara Lubanda takribani kilomita 80 kufika kituo cha polisi cha Fika salama karibu na Mto Katonga wilaya ya Mpigi huko Kampala,...

MBUNGE LIVINGSTONE AAPA KUPAMBANA NA WATUMISHI WAUZA UNGA...JE AKNANI HAO SOMA HAPA...

MBUNGE wa Mtera mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde (CCM), ameapa kutowaonea haya watumishi watakaobainika kuhusika na wizi wa dawa katika vituo vya kutolewa huduma jimboni mwake.Lusinde, maarufu kama Kibajaji, aliyasema hayo...

JE NI KWANINI WANAWAKE WENGI WAREMBO HUISHIA KUWA MICHEPUKO???HAYA MAJIBU HAPA SOMA ZAIDI...

Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi sana ambao wanahesabu kuwa ni baraka na jambo la kumshukuru Mungu kwa kuwaumba wenye sura nzuri na wenye mvuto. Pamoja na ukweli huu, ni wazi na imethibitika kwamba wako wanawake ambao wanahesabu kuzaliwa warembo...

BAADA YA MIAKA SITA LADY JD AMTEMBELEA RAY C...SOMA KILICHOENDELEA...

  Mwanamuziki Mkongwe Lady Jay Dee Amefunguka haya kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuonana na Mwanamuziki Ray C ambae yuko katika harakati za kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya........From @jidejaydee - Thank you for visiting...

KILICHOIPONZA SIMBA FA CUP HIKI HAPA,SOMA ZAIDI,VIONGOZI WANENA MAZITO....

Baada ya michezo mitatu ya Kombe la FA kuchezwa na kushuhudia timu za Dar es Salaam Young Africans, Mwadui FC na Azam FC kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la FA, April 11 2016 ilikuwa zamu ya wekundu...

ANTI EZEKIEL ATUMBULIWA JIPU,KAULI YA JPM YAMTUMBUA JIPU...SOMA KISA KAMILI...

  Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson. Dar es Salaam: Mnyoosho! Kaulimbiu ya Rais Dkt John Pombe Magufuli ‘JPM’ ya kutumbua majipu na watu wasiolipa kodi imemdondokea staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson baada ya gari lake...

JAMAN MAPENZ JAMANI,SOMA HII KALI,WANASEMA MWANZO,KATI HADI MWISHO NI...

Mpenzi msomaji wa XXLove, tunakutana Jumatatu nyingine kwa rehema za Mwenyezi Mungu. Wiki hii tutaangazia hisia za kimapenzi zinavyotakiwa kuoneshwa kwa wapenzi. Hisia hizo zinatakiwa ziwe mwanzo, kati na mwisho na si katikati tu wakati wa tendo husika...
© Copyright 2025 MAWINGUBONGO | Designed By Code Nirvana
Back To Top