Social Icons

Loading...

KWA MARA YA KWANZA RAIS JPM AHUDHURIA KIKAO CHA CCM AKIWA KAMA RAIS...SOMA ALICHOKISEMA...

Leo Novemba 12, 2015 kimefanyika kikao cha kamati kuu ya chama cha mapinduzi jijini Dar es Salaam, kikao kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Rais John Magufuli amehudhuria kikao cha halmashauri kuu kwa mara yake ya kwanza.

Picha kwa hisani ya Michuzi

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top