Social Icons

Loading...

MAAGIZO YA RAIS JPM YAANZA KUTEKELEZWA LEO...SOMA HAPA UPATE HABARI KAMILI...


Taasisi ya Mifupa ya MOI imeanza kutekeleza agizo la Rais Daktari John Pombe Magufuli kwa kumfikisha Mgonjwa Chacha Makenge kwenye kipimo cha MRI nje ya hospitali hiyo ili aweze kuanza matibabu mara moja. Hongera sana Rais kwa kuwakumbusha wajibu wao. Pia hongereni Muhimbili kwa kuanza utekelezaji wa agizo la Rais mapema sana.
==>storyzawakubwa.blogspot.com

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top