Social Icons

Loading...

MASANJA ASHIKA NAMBA TATU LUDEWA KWENYE KURA ZA MAONI, ASEMA ATARUDI TENA,APATA CHALLENGE YA WAPIGA KURA...


Masanja na Wajjumbe wengine wa CCM Ludewa.
Masanja na baadhi ya Wajumbe wengine wa CCM Ludewa.
Tayari tuna stori kuhusu Mchekeshaji Masanja kushindwa kwenye Ubunge Jimbo la Ludewa ambapo matokeo ya kura za maoni yameonesha jamaa anashika nafasi ya tatu… Masanja amesema kashindwa lakini anajipanga kwa mara nyingine kwa ajili ya kusimama kwenye Ubunge mwaka 2020.
Masanja amesema kitu kingine ambacho alikutana nacho na hakutegemea ilikuwa mfumo wa Kura za maoni, alidhani wanaCCM wote Ludewa watapiga Kura lakini utaratibu ukawa tofauti, viongozi pekee ndio waliopiga Kura kupitisha jina la mgombea Ubunge wa CCM ambapo Masanja hakufanikiwa kupita

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top