Social Icons

Loading...

YA MOTO BAND WANAFUNIKA HUKO NIGERIA ILE MBAYA...SOMA HAPA KWA MATUKIO YAO YA SASA HIVI...

Baada ya kufanya vizuri kwenye hit single  ya Cheza kwa Madoido sasa time hii Yamoto Band wamefanya collabo na wasanii kutokea Nigeria maarufu kama Bracket.
Akizungumza kwenye exclusive interview  na Ayo TV Asley alithibitisha kwamba waliombwa collabo na wasanii hao kutokea Nigeria…‘Kwasasa tumetumiwa wimbo na Bracket yaani wameomba kufanya collabo na sisi Yamoto Band nafikiri collabo hiyo ikiwa tayari tutawajulisha mashabiki’ – Asley
DSC_8186
‘Sisi kama Yamoto Band tutaimba kwa lugha ya hapa nyumbani kiswahili halagu Bracket wataimba lugha yao wanayoitaka kama kingereza sawa kama Kinigeria sawa – Asley

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top