Social Icons

Loading...

BREAKING NEWZZ: KAMPENI ZA UBUNGE ARUSHA MJINI,GODBLESS LEMA AFANYA "WONDERFUL" SOMA HAPA KUPATA KISA NA MKASA...

Tume ya Uchaguzi Tanzania NEC tayari imekamilisha kazi ya kuweka utaratibu mzima wa Uchaguzi mwingine wa Wabunge na Madiwani kwenye baadhi ya maeneo ambayo Uchaguzi haukufanyika.
Jimbo la Arusha Mjini nako Uchaguzi wa Mbunge wa Jimbo hilo haukufanyika baada ya Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo, Mzee Estomih Jonas Mallah kufariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Ratiba ya Tume ya NEC imeonesha Uchaguzi wa Mbunge Jimbo la Arusha Mjiniutafanyika December 13 2015… Kampeni zimeanza na hapa nina picha za Kampeni kwenye Jukwaa la Godbless Lema anayepeperusha bendera ya CHADEMA.
unnamed II
Mbunge Mteule wa Jimbo la Mbeya MjiniJoseph Mbilinyi ‘Sugu’ nae ameunganisha nguvu kwenye Kampeni za Arusha kumsapoti Godbless Lema.
unnamed iii
Hii ndio Arusha yenyewe, wanachama na wafuasi wa CHADEMA kwenye Kampeni za Godbless Lema.
unnamed IV
Mgombea Ubunge Godbless Lema na watu wake wa Arusha.
unnamed
==>MILLARDAYO

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright 2025 MAWINGUBONGO | Designed By Code Nirvana
Back To Top