Social Icons

Loading...

ASKARI ADAKWA AKIPOKEA RUSHWA, TAZAMA KILICHOMKUTA BAADA YA BOSS WAKE KUPATA TAARIFA ...SOMA HAPA...

Novemba 9, 2015 kulikuwa na headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusiana na video ikionesha Askari wa usalama wa barabarani anayefahamika kwa jina la Anthony Temukutoka kituo cha polisi kinachojulikana kama Kabutu huko Tanga akijihusisha katika tendo la rushwa.
Sasa taarifa iliyonifikia ni kwamba askari huyo aliyeonekana katika mitandao jana akipokea rushwa Kabuku, Tanga amefukuzwa kazi na kukabidhiwa kwa TAKUKURU kwa mashitaka ya Rushwa.
==>Millardayo.com

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright MAWINGUBONGO
Back To Top